IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amewataka viongozi wa Kiislamu na Kiongozi wa Kanisa Katoliki kushikamana dhidi ya mzingiro wa Israel huko Gaza, ambako njaa inazidi kupelekea janga kubwa la kibinadamu.
Habari ID: 3480992 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/24
IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, Imamu Mkuu wa Al-Azhar, ametoaito wa dharura kwa jamii ya kimataifa kuingilia kati mara moja kuokoa watu wa Gaza dhidi ya baa la njaa linalokatili maisha ya wengi.
Habari ID: 3480989 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/23
IQNA – Semina maalum kuhusu "Vipengele vya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’an Tukufu Kuhusiana na Upepo" inatarajiwa kufanyika leo katika Msikiti mkuu wa Al-Azhar, nchini Misri.
Habari ID: 3480941 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14
IQNA – Kundi la watu wanaojiita viongozi wa Kiislamu na maimamu wa jamii za Waislamu barani Ulaya limekumbwa na ukosoaji mkali baada ya kufanya ziara katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu wiki hii, wakati ambapo utawala wa Kizayuni unaendelea na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza.
Habari ID: 3480930 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Misri amesema kuwa lengo la mapinduzi ya Imam Hussein (Aleyhi Salaam) lilikuwa kufufua roho na kiini halisi cha dini, wakati ambapo maadili na thamani sahihi za Kiislamu zilikuwa zimepotea, na kilichobakia ni maumbo ya nje tu ya ibada na mila za dini.
Habari ID: 3480914 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/08
IQNA – Toleo la tatu la mpango wa majira ya joto wa Qur'ani wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limeanza kutekelezwa Jumapili.
Habari ID: 3480774 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01
IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.
Habari ID: 3480712 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20
IQNA – Qur'ani Tukufu inashughulikia kwa ukamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu, amesema afisa wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar.
Habari ID: 3480605 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
IQNA – Washindi wa mashindano ya kimataifa ya kukumbuka Qur’ani kwa wanafunzi wa kigeni wa Al-Azhar wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika nchini Misri mwishoni mwa wiki. Shirika la Kimataifa la Wahitimu wa Al-Azhar lilipanga sherehe hiyo kwa kushirikiana na Taasisi ya Hisani ya Abu Al-Ainain.
Habari ID: 3480582 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Naibu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ametaja kurejesha heshima ya mwanadamu kuwa ndilo lengo kuu la Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480571 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
Habari ID: 3480536 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri.
Habari ID: 3480503 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, imamu mkuu wa Al-Azhar ya Misri, amesisitiza haja ya kuunda hifadhidata za kurekodi uhalifu dhidi ya Waislamu na Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480394 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18
IQNA – Naibu mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ametangaza utayarishaji wa qiraa ya Tarteel ya Qur’ani na wanafunzi 20 wa chuo hicho.
Habari ID: 3480349 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA - Imamu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb amesafiri kwenda Bahrain kushiriki mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Kiislamu.
Habari ID: 3480243 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kitawasilisha machapisho yake mapya katika toleo la 56 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3480058 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15
IQNA - Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimetangaza shindano la kuhifadhi Qur’ani miongoni mwa wanafunzi wake katika vitivo vya chuo hicho jijini Cairo na maeneo mengine ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480006 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/05
Jinai za Israel
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha A-Azhar cha Misri kimebainisha matumaini kwamba mwaka wa 2025 utakuwa mwaka wa ushindi na amani kwa Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479990 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
Muongozo
IQNA – Sheikh Abduh Al-Azhari, mwanazuoni kutoka Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri, ameonyesha wasiwasi juu ya uwepo wa matoleo yaliyopotoka ya Qur'ani yanayopatikana kwenye mtandao au intaneti.
Habari ID: 3479978 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31
Jinai
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani shambulio la kigaidi lililoua watu wawili na kujeruhi makumi kadhaa huko Magdeburg nchini Ujerumani.
Habari ID: 3479933 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21