IQNA – Toleo la tatu la mpango wa majira ya joto wa Qur'ani wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limeanza kutekelezwa Jumapili.
Habari ID: 3480774 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01
IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.
Habari ID: 3480712 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20
IQNA – Qur'ani Tukufu inashughulikia kwa ukamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu, amesema afisa wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar.
Habari ID: 3480605 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
IQNA – Washindi wa mashindano ya kimataifa ya kukumbuka Qur’ani kwa wanafunzi wa kigeni wa Al-Azhar wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika nchini Misri mwishoni mwa wiki. Shirika la Kimataifa la Wahitimu wa Al-Azhar lilipanga sherehe hiyo kwa kushirikiana na Taasisi ya Hisani ya Abu Al-Ainain.
Habari ID: 3480582 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Naibu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ametaja kurejesha heshima ya mwanadamu kuwa ndilo lengo kuu la Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480571 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
Habari ID: 3480536 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri.
Habari ID: 3480503 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, imamu mkuu wa Al-Azhar ya Misri, amesisitiza haja ya kuunda hifadhidata za kurekodi uhalifu dhidi ya Waislamu na Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480394 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18
IQNA – Naibu mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ametangaza utayarishaji wa qiraa ya Tarteel ya Qur’ani na wanafunzi 20 wa chuo hicho.
Habari ID: 3480349 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA - Imamu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb amesafiri kwenda Bahrain kushiriki mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Kiislamu.
Habari ID: 3480243 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kitawasilisha machapisho yake mapya katika toleo la 56 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3480058 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15
IQNA - Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimetangaza shindano la kuhifadhi Qur’ani miongoni mwa wanafunzi wake katika vitivo vya chuo hicho jijini Cairo na maeneo mengine ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480006 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/05
Jinai za Israel
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha A-Azhar cha Misri kimebainisha matumaini kwamba mwaka wa 2025 utakuwa mwaka wa ushindi na amani kwa Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479990 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
Muongozo
IQNA – Sheikh Abduh Al-Azhari, mwanazuoni kutoka Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri, ameonyesha wasiwasi juu ya uwepo wa matoleo yaliyopotoka ya Qur'ani yanayopatikana kwenye mtandao au intaneti.
Habari ID: 3479978 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31
Jinai
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani shambulio la kigaidi lililoua watu wawili na kujeruhi makumi kadhaa huko Magdeburg nchini Ujerumani.
Habari ID: 3479933 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Diplomasia
IQNA – Shekhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amepongeza misimamo ya Estonia dhidi ya utawala wa Israel.
Habari ID: 3479719 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08
IQNA - Imamu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesikitishwa na ukosefu wa juhudi za kufikia amani duniani.
Habari ID: 3479699 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/04
Qurni Tukufu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema Qur'ani Tukufu ina miujiza mingi ya kisayansi ambayo imewashangaza wanasayansi katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3479601 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/16
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani ukatili wa Israel huko Lebanon na Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479499 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27
Onyo
IQNA – Taasisi za Al-Azhar na Dar al-Ifta nchini Misri zimetangaza kuwa kuunda na kutangaza klipu za visomo vya Qur'ani vinavyoambatana na muziki ni marufuku, kwani inachukuliwa kuwa ni kutoheshimu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479469 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22